This 14-track album showcases a fusion of Bongo Flava, Afrobeat, RnB, and Amapiano sounds as he takes his fans on a musical journey through the diverse landscapes of Tanzania
										Konde boy call me number one  
Bakhresaaa  
Mmmh  
  
Picha na tattoo nitazifuta na kama pesa nitatafuta  
Vipi kuhusu upendo wangu wa dhati  
Wambea kama nawaona wakinisuta kiko wapi yamemkuta  
Pindi nitakapokuwa sio tena wako wa dhati  
(Mmmh)  
  
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga  
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea  
(Babe)  
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia  
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako  
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia  
(Me na wewe)  
  
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no  
(Nasema sijui iih)  
Mfano naweza namuachia nani  
(Yeyeyee)  
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani  
(Sijui kama ntaweeeza)  
Mfano naweza namuachia nani  
(Iih iiih iiiih)  
It feels like am falling love for the first time  
Am never seen love this before yes for sure  
  
(Mmmh)  
  
Yupo wapi yupo wapi mzuri wakumshinda babe wangu yuko wapi  
Ooh yupo wapi anaejua thamani ya pendo langu yupo wapi  
Nauliza yupo wapi ama mimi nimeshadate na wangapi yupo wapi  
Ooh yupo wapi yupo wapi nimuone anaenijua mimi hakuna  
Wengi wanakuja kunichuna wakijua kwamba pesa hakuna  
Mara watanuna na kisa hakuna mape mapeenzi  
  
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga  
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea  
(Babe)  
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia  
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako  
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia  
(Me na wewe)  
  
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no  
(Nasema sijui iih)  
Mfano naweza namuachia nani  
(Yeyeyee)  
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani  
(Sijui kama ntaweeeza)  
Mfano naweza namuachia nani  
(Iih iiih iiiih)  
It feels like am falling love for the first time  
Am never seen love this before yes for sure									
 
								