Published 6 months ago in Afropop & Afrofusion, in album: Visit Bongo

Dear X

  • 6
  • 0
  • 0
  • 0
  • 0
  • 0

This 14-track album showcases a fusion of Bongo Flava, Afrobeat, RnB, and Amapiano sounds as he takes his fans on a musical journey through the diverse landscapes of Tanzania

Lyrics

Inaniumiza
Hellow
Heeey
Hello Dear Ex
Nimepata tetesi
Za kwamba unanisema
Ili nionekane si mwema
Pengine una stress
Maana umekonda mwepesi
Kwangu ukimya si ukilema
Ila nachunga vya kusema
Maana niliubeba msalaba
Ikawa mi ndo mama mi ndo baba
Nikajichanga tujaze kibaba
Mbona hausemi
Kiume nilishukuru
Nikapangusa matako nikakuacha uende
Ukawe huru
Range na duka ni vyako
Nibaki na makende
Na kama ulidhani ntafeli
Unangoja basi uko feri
Siku nikilewa mitasema ukweli
Nchi ilivyogo na matapeli
Sina hasira wala kinyongo
Ila sipendi uongo
Vijembe jembe na madongo
Ukitaka kutrend
Raundi hii hainaga
Hainaga kutia huruma
Hainaga kutia
Hivi tuseme ndo nimejipata
Hainaga kutia huruma
Haina Haaiiiiiii
Hainaga kutia
Maana mbona nazidi kutakata
Hainaga kutia huruma
Hainaga Haaiiiiii
Hainaga kutia
Haiiiiiii
Hainaga
Hainaga kutia huruma haina
Haiiiiiii Haiiiiiii
Hainaga kutia
Peke yangu nisingeweza
Nisingeweza
Kuna kitu Mungu kaniongeza
Kaniongeza
Ona nazidi kupendeza
Ninapendeza
Na niko bize na Feza
Unacheka cheka tukuone ume-move on
Mara unatuonyesha vya nguoni
Uhali gani uko moyoni sema sema
Unacheka cheka tukuone ume-move on
Mara unatuonyesha vya nguoni
Uhali gani uko moyoni sema sema
Na kama ulidhani ntafeli
Unangoja basi uko feri
Siku nikilewa mitasema ukweli
Nchi ilivyogo na matapeli
Sina hasira wala kinyongo
Ila sipendi uongo
Vijembe jembe na madongo
Ukitaka kutrend
Raundi hii hainaga
Hainaga kutia huruma
Hainaga kutia
Hivi tuseme ndo nimejipata
Hainaga kutia huruma
Haina Haaiiiiiii
Hainaga kutia
Maana mbona nazidi kutakata
Hainaga kutia huruma
Hainaga Haaiiiiii
Hainaga kutia
Haiiiiiii
Hainaga
Hainaga kutia huruma haina
Haiiiiiii Haiiiiiii
Hainaga kutia

::
/ ::

Queue

Clear